Malengo/Ndoto
…............
Kwenye maisha kila mtu
anakuwana Malengo/Ndoto. Ni vizuri kuweka malengo/ndoto zetu kwenye
maandishi ili kuwa na uwezo wa kujikumbusha kila asubuhi ambayo
muuamba anakuwa ametujalia ili tujitahidi kufikia/kutimiza
malengo/ndoto. Ni muhimu sana tukajiwekea na muda wa kutimiza hayo
malengo/ndoto ili tuweze kuja kujipima. Tusipoweka malengo/ndoto zetu
kwenye maandishi ni rahisi kuzisahau na kuzibadili na kushindwa
kutimiza/kufikia.
Basi tusisahau
kumtanguliza Mungu katika kila jambo.
Siku njema, nawapenda
sana.
Winnie.
No comments:
Post a Comment