Thursday, July 18, 2013

Malengo/Ndoto …............


Kwenye maisha kila mtu anakuwana Malengo/Ndoto. Ni vizuri kuweka malengo/ndoto zetu kwenye maandishi ili kuwa na uwezo wa kujikumbusha kila asubuhi ambayo muuamba anakuwa ametujalia ili tujitahidi kufikia/kutimiza malengo/ndoto. Ni muhimu sana tukajiwekea na muda wa kutimiza hayo malengo/ndoto ili tuweze kuja kujipima. Tusipoweka malengo/ndoto zetu kwenye maandishi ni rahisi kuzisahau na kuzibadili na kushindwa kutimiza/kufikia.

Basi tusisahau kumtanguliza Mungu katika kila jambo.


Siku njema, nawapenda sana.


Winnie.


No comments:

Post a Comment