Na mshukuru mungu kwa siku ya tarehe kama ya leo miaka miwili iliyopita muda wa saa mbili na dakika tano asubuhi alinipa zawadi nzuri isiyo na kifani.
Ni wewe mtoto wetu Alexa Graciela. Mungu tunakushukura kwa kuwa mwema kwetu na kwa Alexa.
Alexa tunakuombea Mungu akujalie Afya njema, Hekima, Unyenyekevu, Maarifa, Kumjua Mungu na Mengi mengi yalio mema.
Tunakupenda sana, Hapi besi dei kipenzi chetu!
No comments:
Post a Comment